Get Paid To Promote, Get Paid To Popup, Get Paid Display Banner

Tamasha la Handeni lafana chini ya udhamini wa NSSF

Posted by dani handrian
Mkuu wa wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu, akimtunza Mmoja wa wasanii wa Jeshi la JKT Mgambo, waliokuwa wakitoa burudani katika la Utamaduni Handeni.
Wasanii wa ngoma za asili kutoka JKT Mgambo, wakitumbuiza Mamia ya Wananchi waliofika katika Tamasha la Utamaduni Handeni, sherehe hizo zilifanyika Juzi katika Uwaja wa Azimio, wilayani Handeni, Mkoani Tanga.
Kikundi cha Sarakasi kutoka JKT Mgambo wakionesha uwezo wao katika Tamasha la Utamaduni Handeni, Tamasha hilo lilifanyika juzi, katika uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, Mkoani Tanga.

 

Copyright © 2009 ikpopped | Design by [blogger merak dua]